Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake Mtwara kunufaika na Chandarua Kliniki

Alhamisi , 26th Mei , 2016

Wanawake wajawazito na watoto wenye umri wa miezi 9 mkoani Mtwara wanatarajiwa kunufaika na mpango wa Chandarua Kliniki unaotekelezwa na mradi wa kimataifa wa Vectorworks, wenye lengo la kuongeza upatikanaji na matumizi ya vyandarua vyenye viuatilifu

(Picha na Maktaba)

Akizungumza na waandishi wa habari katika utambulisho wa mpango huo katika Hospitali ya rufaa ya Ligula, Mganga mkuu wa mkoa wa Mtwara, Dkt. Wedson Sichalwe, amesema walengwa watapatiwa vyandarua hivyo bila malipo yoyote wakati wakuudhuria Kliniki.

Kwa upande wake, Afisa habari elimu na mawasiliano kutoka wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto, Theresia Shirima, amesema kiwango cha maambukizi ya malaria kitaifa kwa sasa ni asilimia tisa ambapo lengo ni kufikia asilimia moja ifikapo mwaka 2020.

Mpango wa Chandarua Kliniki unaosimamiwa na wizara ya afya, maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto kupitia mpango wa taifa wa kudhibiti malaria, unatarajiwa kuzinduliwa Mei 28 katika uwanja wa Mashujaa mkoani Mtwara huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa mkuu wa mkoa wa Mtwara, Halima Dendego.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil