Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi wamekondeana - Mchengerwa

Jumatano , 24th Mei , 2017

Mbunge wa jimbo la Rufiji, Mohamed Mchengerwa (CCM) amefunguka na kusema kuwa katika bunge hili la 11, kuna wabunge watatu ambao wanaishi maisha magumu sawa na wananchi wao na kwamba wamekondeana kutokana na ugumu huo wa maisha.

Mohamed Mchengerwa - Mbunge wa Rufiji

Mchengerwa amewataja wabunge hao kuwa ni pamoja na Mbunge wa Mkuranga Abdallah Ulega, Mbunge wa Kibiti Allya Seif Ugando na yeye mwenyewe Mbunge wa Rufiji na kuongeza kuwa ugumu ho wa maisha unachangiwa na tatizo la mauaji yanayoendelea katika maeneo hayo.

“Mheshimiwa Mwenyekiti nataka nikuhakikishie katika Bunge lako hili tukufu unao wabunge watatu ambao wanaishi katika maisha magumu sana kupata kutokea katika nchi hii, Mbunge wa Mkuranga, Mbunge wa Kibiti pamoja na Mbunge wa Rufiji tunaishi katika maisha magumu siyo sisi tu hata familia zetu lakini pia hata wapiga kura wetu wanaishi maisha magumu sana wananchi wamekonda mpaka wanashindwa kushiriki katika shughuli za maendeleo, na tunaiomba serikali jambo hili ilifanyie kazi haraka sana" alisema Mchengerwa 

Mbali na hilo Mchengerwa ameiomba serikali kuwa sikivu huku akitaka Rais Magufuli atambue kuwa mambo yanayoendelea Pwani hayatokei kwa bahati mbaya, bali mambo hayo yana vyanzo vyake na hupangwa.

"Mambo haya yanayoendelea Kibiti, Rufiji na Mkuranga ni mambo yaliyopangwa na yana root course tunataka serikali ijue hilo, yapo mambo mengi na ziko chuki nyingi ambazo zimejengwa kwa wananchi, zipo chuki nyingi ambazo zilifanyika yanatoa kero kubwa kwa wananchi, jambo hili ni kubwa na linaendelea kutanuka kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine hivyo serikali inapaswa kuchukua hatua sasa" alisistiza Mchengerwa

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita