
Giroud amebakiza mabao 9 kumfikia kinara wa ufungaji wa muda wote wa Ufaransa Thierry Henry mwenye mabao 51

Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Aboubakar Kunenge na kulia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli.

Dada Victoria Romanus anayemtafuta msanii Harmonize

Kiungo wa The Gunners, Mesut Ozil akipungia mkono mashabiki wake katika moja ya mchezo wa EPL.

Novak Djokovic (Pichani) akipatiwa matibabu wakati wa mchezo wake wa michuano ya wazi ya Ufaransa dhidi ya Pablo Carreno.

Msanii wa BongoFleva Lady Jaydee na Katibu Mtendaji wa BASATA Godfrey Mngereza

Kushoto ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli, kulia ni Rais wa Malawi Dkt Lazarus Chakwera.

Mkurugenzi wa Aspire Products & Service company (APS), Janeth Dutu akimkabidhi taulo za kike mtangazaji wa EATV, Tony Albert (T-Bway).