Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), David Silinde
Silinde ametoa kauli hiyo baada kutoridhishwa na utendaji na usimamizi wa miradi ya elimu wilayani Mbogwe mkoani Geita, hususani ujenzi wa mabweni katika shule za Lilembela na Mbogwe mkoani Geita.
Tazama video hapo chini