Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliokamatwa kwa dawa za kulevya wafikia 349

Alhamisi , 16th Feb , 2017

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya kukamatwa kwa jumla watuhumiwa 349 akiwemo 'video queen' Agnes Gerald maarufu kwa jina la 'Masogange', katika oparesheni ya kuwasaka watu wanaohusika na dawa za kulevya

Kamishna Simon Sirro

 

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro amewaambia waandishi wa habari kuwa kati ya watuhumiwa 349, watuhumiwa 17 akiwemo mrembo anayepamba video za muziki za wasanii Agnes Gerald maarufu kama Masogange watarajiwa kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za kutumia dawa za kulevya na kwa sasa bado wapo chini ya uangalizi wa polisi.

Hadi sasa watuhumiwa 16 wamekwisha fikishwa Mahakamani, huku majalada 24 yamekwisha peleke kwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ambapo muda wowote watuhumiwa hao watapandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo huku uchunguzi ukiendelea juu ya watuhumiwa wengine.

Mbali na watuhumiwa hao, Jeshi Kanda Maalum ya Dar es Salaam pia limefanikiwa kukamata jumla ya kete 612 za dawa za kulevya aina ya heroin, puli 816 na misokoto ya bangi 89 pamoja na mabunda 19 ya mirungi.

Aidha, Jeshi hilo pia linamshikilia kijana mmoja mwenye umri wa miaka 23 Omari Abeid Bakari ambaye ni manafunzi na mkazi wa maeneo ya JKT Mgulani, kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo mitandaoni akiwahusisha viongozi wakuu wa kisiasa, wakidini na watu mashuhuri ambapo Kamishna Sirro ametoa tahadhari kwa wananchi kuacha mara moja kutoa taarifa za oungo mitandaoni kwani hawata sita kuwachukulia hatua za kisheria.

Kuhusu askari 9 kati ya 12 waliotuhumiwa kuhusika na dawa hizo, Kamanda Sirro amesema askari hao watapelekwa kwenye tume ya maadili kwa ajili ya kuchukuliwa hatua za kisheria.

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita