Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza Willbroad Mutafungwa, akionesha pikipiki hizo
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza Willbroad Mutafungwa amesema tukio hilo lilitokea tarehe 20, Agosti 2023 katika kituo cha afya Mwabaluhi, wilayani Sengerema ambapo wahalifu hao walivunja ofisi ya mganga mkuu wa wilaya hiyo na kuiba pikipiki hizo tatu kisha kwenda kuziuza nchini Burundi.
Watuhumiwa wamehojiwa kwa kina na uchunguzi utakapokamilika watafikishwa mahakamani