
Maji hayo yanatokana na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Geita
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Geita Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo vilivyotokea usiku wa kuamkia leo March 11, huku akisema kuwa eneo hilo lilikuwa limefungiwa uzalishaji kutokana na sababu za kiusalama