Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijana waomba amani uchaguzi mkuu

Ijumaa , 16th Oct , 2020

Zikiwa zimesalia siku 11 kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Octoba 28,2020 baadhi ya Vijana kutoka Vyuo vikuu hapa nchini kwa kushirikiana na baadhi ya vijana wenye vipaji mbalimbali na wengine wa kada tofauti wamepanga kufanya matembezi ya amani katika viwanja vya Tanganyika packers, jumamosi hii.

Jumuiya ya vijana wenye ulemavu wakiwa katika picha ya pamoja na vijana kutoka kada na tasnia mbalimbali.

Katika viwanja hivyo tarehe 17, makundi yote yamelenga kukumbusha ulinzi wa amani na kwamba vijana ndio wenye jukumu kubwa la kuamua mustakabali wa Taifa lao hivyo pasi na shaka jukwaa hilo litawaleta pamoja licha ya tofauti zao za vyama, itikadi wakiunganishwa wote na utanzania.

Kwa upande kundi la vijana ambao hujishugulisha na ujasiriamali, uimbaji, usanii katika kuchora, kuigiza wote wakikusanyika kwa pamoja ili kuhakikisha vijana wanaachwa kutajwa katika kundi la watu ambao wanahofiwa kuingizwa katika vurugu.

Kwa mujibu wa ratiba kutoka Tume ya Taifa ya uchaguzi zimebakia takribani siku 11 tuu kwa Wananchi kujitokeza kushiriki katika zoezi la uchaguzi Mkuu wa October 28 na kwamba ulinzi wa amani ndiyo tunu ya Taifa la Tanzania

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa