Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijana nchini watakiwa kuilinda amani iliyopo

Ijumaa , 9th Dec , 2022

Vijana nchini wameshauriwa kufahamu kwamba viongozi waasisi wa Taifa la Tanzania walifanya kazi kubwa ya kuhakikisha Uhuru unapatikana hivyo  na wao wanao wajibu wa kuitunza na kuilinda amani iliyopo ili isitoweke

Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Elihuruma Mabelya,

Ushauri huo umetolewa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Elihuruma Mabelya, wakati wa mdahalo wa miaka 61 ya Uhuru wa Tanganyika uliofanyika katika chuo kikuu kushiriki cha elimu Dar es Salaam (DUCE).

Kwa upande wao wahadhiri wa chuo hicho wameeleza miaka 61 ya Uhuru wa Tanganyika kwa jinsi ulivyofanikisha kukuza kiwango cha elimu hapa nchini na kuongeza idadi kubwa ya watalaam wa fani mbalimbali ambao wameisaidia serikali kuokoa fedha nyingi za kwenda kuwatafuta watalaam hao nje ya nchi.

Nae Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Amani wilaya ya Temeke Mchungaji Andrew Mtweve, amesema miaka 61 ya Uhuru wa Tanganyika imekuwa na uhuru mkubwa wa kuabudu kwa viongozi wa dini zote kukaa pamoja na kuzungumza huku makundi ya watu wenye ulemavu yakieleza kwamba bado  makundi hayo yamekuwa yakiachwa  nyuma kwenye masuala ya kiuwakilishi.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa