Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Taasisi ya Ruge Mutahaba kufadhili vijana wabunifu

Alhamisi , 23rd Jun , 2022

Vijana wa Kitanzania zaidi ya 5,000 wenye vipaji na wabunifu wanatarajiwa kupata ufadhili wa masomo kutoka kwenye Taasisi ya Ruge Mutahaba, itakayozinduliwa rasmi usiku wa Jumapili ya Juni 26, 2022.

Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Taasisi ya Ruge Mutahaba Georgia Mutagahywa

Hayo yamesemwa na Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa taasisi hiyo Georgia Mutagahywa, na kubainisha kuwa lengo la taasisi hiyo ni kuwaunganisha vijana mbalimbali wa Tanzania na kuwawezesha kuchangamkia fursa zilizopo katika jamii zao.

Akizungumza kwa niaba ya vyombo vya habari vitakavyoshiriki katika uzinduzi wa taasisi hiyo Reuben Ndege, amesema vyombo vya habari vimejitolea kushirikiana na taasisi hiyo kama moja ya njia ya kuenzi mchango wa Ruge katika tasnia ya habari na burudani.

Rwebu Mutahaba akiiwakilisha familia ya marehemu Ruge Mutahaba ameshukuru kwa ushirikiano mkubwa ambao wameendelea kuupata kutoka kwa wadau mbalimbali hasa katika kuyaendeleza maono aliyokuwa nayo Ruge.

Rwebu Mutahaba, mwakilishi wa familia ya marehemu Ruge Mutahaba

Ni miaka mitatu tangu Ruge Mutahaba alipofariki na taasisi hiyo katika kumuenzi itajikita katika ubunifu, uvumbuzi, umahili, upambanaji na uzalendo kwa vijana na matangazo ya uzinduzi wa taasisi hiyo yatarushwa katika vyombo mbalimbali ikiwa ni pamoja na East Africa TV.

HABARI ZAIDI

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe