Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yawaonya wanaovujisha siri za mteja

Jumatatu , 25th Jan , 2021

Serikali imeyaonya makampuni ya simu ambayo watumishi wao wamekuwa sio waaminifu na wamekuwa wakivujisha siri za wateja wao kwa watu wengine na kuwataka wananchi wenye malalamiko kama hayo kuyawasilisha wizarani ili hatua kali za kisheria zichukuliwe.

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Faustine Ndugulile

Hayo yamebainishwa Jijini Dodoma na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Faustine Ndugulile wakati wa hafla ya kutiliana saini mikataba kati ya Makampuni ya simu na Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) ili kupeleka mawasiliano maeneo ya vijijini ambapo amesema  kuna makampuni ya simu ambayo watumishi wao si waaminifu na wamekuwa wakivujisha siri za wateja kwa marafiki zao kwa kuhongwa fedha.

"Kumekuwa na tabia kwenye haya makampuni watumishi wanavujisha siri za mawasiliano za wateja mtu kagombana na mpenzi wake anakuja kwenu mnamkopia mawasiliano yake yote hilo halikubariki" amesema Dkt Ndugulile.

Aidha ameyataka Makampuni hayo kukomesha tabia hiyo sambamba na  kuanza kuangalia namna ya kuboresha huduma zao kwa kuondoa huduma ya interneti ya kasi ya 2G na ili kama nchi tuanzie kasi ya 3G na kuendelea mbele kama nchi nyingine huku akihimiza kupunguza gharama za bando kwa wateja wao.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa