Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yasema Kipindupindu bado tatizo nchini

Jumatatu , 28th Dec , 2015

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia watoto na wazee imesema kuwa bado kuna maambukizi mapya ya ugonjwa wa kipindupindu hapa nchini, na kusisitiza kuwa agizo lake la kupiga marufuku uuzwaji wa matunda pamoja na chakula lipo pale pale.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamiin Jinsia , Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Afya

Akitoa taarifa ya hali ya Ugonjwa wa kipindupindu hapa nchini leo jijini Dar es salaam Waziri Ummi Mwalimu amesema kuwa mpaka leo kuna wagonjwa wapya 76 hapa nchini toka mikoa 21 huku watu 196 wamefariki huku mkoa wa Kigoma ukiongoza kwa kuwa na wagonjwa wapya 17 ikifuatiwa na Morogoro vijijini 12 na Iramba 7 na kwingineko.

Waziri Mwalimu ameongeza kuwa agizo lake la kupiga marufuku uuzwaji wa matunda yaliyokatwa upo pale pale pamoja na Kuuza chakula katika mazingira machafu,

Aidha Wizara ya Afya, maendeleo ya jamii, jinsia watoto na wazee watoto watakuwa wakitoa taarifa ya ugonjwa wa kipindupindu kila jumatatu pamoja na kuzitaja halmashauri zinazoongoza kwa maambukizi.

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi