Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Samia amzungumzia Waziri aliyemfukuza Mzee Mwinyi

Jumamosi , 8th Mei , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kitabu cha maisha ya Mzee Mwinyi,alichokizindua hii leo kinafundisha mambo mengi ikiwemo la binadamu kupendana na si vyema kumfanyia mtu ubaya sababu hauwezi kujua kesho atakuwa nani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, samia Suluhu Hassan

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 8, 2021, wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi, kinachoitwa Mzee Rukhsa, ambapo ndani ya kitabu hicho Mzee Mwinyi amemuelezea Waziri mmoja ambaye aliamua kumtimua kwenye moja ya nyumba alizokuwa akiishi na kisha kumnyima vifaa vyake vya ujenzi wa nyumba yake aliyokuwa akiijenga maeneo ya Mikocheni.

"Mzee Mwinyi anatufundisha umuhimu wa sisi binadamu hususani viongozi kupendana na kushirikiana, mwaka 1981 aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, baada ya uteuzi huo alitakiwa kuhama nyumba ambayo ilipangiwa kukaa Waziri mwingine, Waziri mpya alikuja nyumbani na kumtaka aondoke haraka hata bila kumpa nafasi ya kuhamisha vitu vyake vya ujenzi Mzee Mwinyi aliondoka",ameeleza Rais samia

"Baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na kufanyiwa vitimbwi hivyo vyote Mzee Mwinyi, alimteua Waziri huyo  kwenye Baraza lake la Mawaziri, sasa ndugu zangu kama huyo Waziri bado anaishi sijui anajisikiaje huko aliko", ameongeza Rais Samia.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya