Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu ya Rais wa Msumbiji kuja nchini yatajwa

Jumatatu , 11th Jan , 2021

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi, atawasili nchini hii leo Januari 11, 2021, katika ziara yake ya siku mbili wilayani Chato yenye lengo la kudumisha undugu baina ya nchi ya Tanzania na Msumbiji.

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Nje, Profesa Palamagamba Kabudi, na kusema kuwa ziara hiyo ina umuhimu mkubwa katika masuala ya kiuchumi na kwani hadi sasa kuna makampuni makubwa kutoka Tanzania yamewekeza mtaji mkubwa nchini Msumbiji.

"Ni ziara ya kindugu ambayo ilipangwa kufanyika muda mrefu mwaka jana, lakini haikuweza kufanyika kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo uchaguzi mkuu, mahusiano ya kihistoria, kidplomasia na kiuchumi kati ya nchi hizi mbili yameendelea kuimarika", amesema Waziri Kabudi.

Aidha Waziri Kabudi ameongeza kuwa, "Viongozi wetu watabadilishana mawazo ya namna ya kuendeleza na kuwezesha ufanyaji wa biashara lakini pia kuongeza uwekezaji wa Watanzania ndani ya Msumbiji na watu wa Msumbiji ndani ya Tanzania".

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya