Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Putin akoleza vita Ukraine.

Jumatano , 21st Sep , 2022

Rais wa Urusi Vladmir Putin ametiasaini amri ya kuwahamasisha raia kujiunga na vikosi vya jeshi.Rais huyo  ametangaza kukusanya wanajeshi wa ziada kwa ajili ya vita nchini Urusi.

Anasema kuwa nchi za Magharibi zimeonyesha kuwa lengo lake ni kuiangamiza Urusi na kwamba zimejaribu kuwageuza watu wa Ukraine kuingia kwenye vita kwa lazima.

Waziri wa ulinzi wa urusi Sergey Shoigu, amethibitisha kwamba watakaojiunga na majeshi ya nchi hiyo ni wale wenye uzoefu wa kijeshi ambapo takribani watu 300,000 wameitwa .   

Rais  Putin ameongEza kwamba  endapo ustawi wa Urusi utatishiwa basi nchi hiyo itafanya lolote ili kulinda watu wake . Na pia ameyaonya mataifa mengine kutoshambulia Urusi na kwamba  wanaojaribu kuwatuhumu kwa nyuklia waangalie upepo usiwageukie .
Putin ameongeza kuwa nchi za Magharibi zimekuwa zikiichafua Urusi lakini Urusi ina silaha nyingi za kujibu.

Katika hotuba yake iliyorekodiwa na kurushwa kwenye vyombo vya habari nchini  Urusi, amesema hatua hii ni muhimu katika kuhakikisga ustawi za Urusi.  Baadae leo Rais wa Marekani Joe Biden na wa Ukraine  Zelensky walitarajiwa kutoa hotuba zao kuhusiana na suala hilo kwenye mkutano wa baraza kuu la umoja wa mataifa.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya