Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli
Katibu Mkuu huyo mpya anachukua nafasi ya Mhandisi Mathew Mtigumwe, ambaye amepangiwa nafasi nyingine katika Ofisi ya Waziri Mkuu.
Ikumbukwe kuwa kabla ya kuteuliwa, Kusaya alikuwa kwenye timu maalum iliyoundwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, kwa ajili ya uchunguzi wa masuala mbalimbali katika tasnia ya zao la Mkonge mkoani Tanga.


