Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Raia 14 wa India wapandishwa kizimbani

Jumatano , 22nd Feb , 2017

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia kwa dhamana raia14 wa kigeni wenye asili ya Asia baada ya kusomewa mashtaka 3 mahakamani hapo ya kufanya kazi kinyume cha sheria katika kampuni ya Quality Group Company iliyopo hapa nchini Tanzania.

Raia wa India wakiwa Mahakamani leo

 

Akisoma mashataka matatu yanayo wakabili watuhumiwa hao 14, wenye asili ya Asia, mbele ya Hakimu Mkazi Mkeha Syprian, wakili wa Serikali Kagome Method ameeleza, mahakamani hapo kuwa washtakiwa wote 14 siku ya tarehe 13 Februari 2017, katika Manispaa ya Ilala walikutwa na maofisa uhamiaji wakifanyakazi kinyume na sheria za nchi.

Shtaka la kwanza ni pamoja na kumiliki vibali vya ukazi yaani viza za kughushi, shtaka la pili ni kuwepo nchini isivyokuwa halali na shtaka la tatu ni kufanya kazi kama washauri katika kampuni ya Quality Group kinyume cha sheria za ajira za kazi kwa wageni.

Hakimu Mkeha Syprian amewaachia watuhumiwa hao kwa dhamana ya shilingi milioni 5 kila mmoja huku wadhamini wao na wakitakiwa kuweka bondi ya shilingi milioni 5, kesi hiyo itaendelea tena Machi 21 mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya