Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Posho ya mbunge yatumika kujenga zahanati 8

Alhamisi , 16th Feb , 2017

Posho ya vikao ya mbunge wa Singida Magharibi Mh. Elibariki Kingu, imetumika kuanzisha ujenzi wa zahanati nane katika jimbo hilo, ikiwa ni njia ya kutekeleza uamuzi wake wa kutochukua posho hizo, na badala yake akitaka ziwatumikie wananchi.

Mbunge Elibariki Kingu akiwa na wananchi wa jimboni kwake

Mbunge huyo amebainisha hilo mapema wiki hii alipokuwa kweye kipindi cha East Africa Breakfast, ambapo pamoja na mambo mengine alitakiwa kueleza endapo anajua matumizi ya mgao wake wa posho za vikao vya Bunge, kwa kuwa wakati Bunge la 11 likianza, alikuwa ni mmoja kati ya wabunge waliotangaza kukataa kuchukua posho hizo.

Katika majibu yake Kingu alibainisha ilishindikana kuacha kuchukua posho hizo kwa kuwa, kwa mujibu wa utaratibu wa Bunge, ni lazima asaini kuzichukua, lakini akaamua kuwa yeye binafs asitumie hata shilingi, na badala yake zikatatue kero ya zahanati jimboni kwake.

Vyumba vya madarasa katika jimbo hilo

Mbali na zahanati, Kingu amesema pia kuwa kwa kutumia posho hiyo, ameweza kuanzisha shule mpya za msingi katika maeneo mbalimbali ikiwemo Winduwindu kata ya mwaru, Mtakuja kata ya Mwaru, Mtakuja kata ya Mtunduru, Mwankalaja kata ya Mgungira, Mfumbuwahumba kata ya Ighombwe kata Minyughe na Kinyarimi kata Minyughe.

Msikilize hapa akitaja matumizi ya posho yake........

 

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa