Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mvua kubwa kunyesha mikoa hii nchini

Jumapili , 16th Apr , 2023

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari kutokana na uwepo wa mvua kubwa inayoweza kunyesha katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

Mvua

Taarifa hiyo imeeleza kuwa leo Aprili 18, 2023, mvua itaendelea kunyesha katika mikoa ya Ruvuma, Morogoro, Tanga, Dar es Salaam, Singida, Morogoro, Tabora, Katavi, Rukwa, Songwe, Mbeya na Iringa pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba, 

Kufuatia hali hiyo ya mvua TMA imesema kwamba athari zinazoweza kujitokeza ni pamoja na baadhi ya makazi kujaa maji pamoja na kuathirika kwa shughuli za kiuchumi.

Aidha angalizo la mvua kubwa limetolewa katika mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Morogoro Pwani ikijumuisha visiwa vya Mafia pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

Pia angalizo la upepo mkali vinatarajiwa kutokea katika maeneo ya mwambao wa Pwani ya Kusini ikijumuisha mikoa ya Lindi na Mtwara.

Mvua hizo zinatarajiwa kunyesha hadi Aprili 19, 2023.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya