Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Morogoro na Manyara bado vinara wa kipindupindu

Jumatatu , 18th Jan , 2016

Halmashauri za wilaya za Morogoro na Manyara zaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa wa kipindupindu katika
kipindi cha wiki moja iliyopita.

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania imesema bado Halmashauri za wilaya za Morogoro na Manyara zinaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa wa kipindupindu katika kipindi cha wiki noja iliyopita.

Akiongelea hali ya ugonjwa huo nchini hii leo jijini Dar es salaam, Kaimu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Michael John amesema ugonjwa huo bado una idadi kubwa ya wagonjwa ukilinganisha na halmasauri nyingine nchini.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Huduma za Afya wa wizara hiyo, Dkt. Neema Rusibamayila akizungumzia hali ya ugonjwa huo Mkoani Dodoma juu ya taarifa ya kuwepo kwa ugonjwa huo katika hospitali ya wagonjwa wa akili ya Mirembe amesema hawana uhakika kutokana na kupokea taarifa za halmashauri pekee.

Naibu katibu mkuu wa wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Deo Mtasiwa amesema tayari halmashauri zote nchini zimetakiwa kufanya jihitada za kukabiliana na kuongezeka kwa wagonjwa

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil