Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkurugenzi wa Fedha UDART atimuliwa

Jumatatu , 19th Apr , 2021

Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa amemtumbua Mkurugenzi wa Fedha na Maendeleo ya Biashara wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka nchini (UDART) Bi. Suzana Chaula huku akiweka wazi kuwa tatizo lililopo kwenye miradi wa UDART si uwezo bali ni usimamzi mbovu.

Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa (kushoto) akiwa kwenye ziara

Mh. Majaliwa amefikia uamuzi huo leo katika ziara yake alioifanya katika kituo cha UDART na kubaini utendaji kazi na ufuatiliaji mbovu katika ofisi hizo uliopelekea uwepo wa mabasi mabovu, mifumo ya kielektroniki na mrundikano wa tiketi katika vituo.

"Tunataka tujenge mradi awamu ya tatu kwenda Gongo la Mboto, tunajenga awamu hii kukusanya fedha kununua mabasi kwa ajili ya awamu nyingine uwezo huo upo, tatizo ni usimamizi hatuwezi kuvumilia msimamizi ambaye hawezi akiwemo na mkurugenzi wa fedha, hatuwezi vumilia utaratibu huu, hii fedha sisi tumekopa World Bank na tunalipa fedha yetu ya ndani ya walipa kodi wa Tanzania, leo tunaweka watu hawafanyi kazi vizuri," amesema Mh. Majaliwa.

Awali Waziri Mkuu ameeleza uwepo wa Mkurugenzi Mkuu UDART kwa miaka mitano katika mradi huo bila kuleta maendeleo yeyote ikiwemo ununuzi wa mabasi mapya huku baadhi ya watendaji wakifumbia macho ubadhirifu unaofanyika.

"Mtu anauza tiketi zake ndipoo auze za serikali na watendaji wapo, wanaona na hawachukui hatua, leo nimewauliza tangu Mkurugenzi Mkuu ameingia UDART ana miaka mitano amenunua mabasi mangapi?, hakuna hata moja anasema hana fedha," amesema Mh. Majaliwa.
 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita