Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Jumamosi , 27th Apr , 2024

Mwanamke mwenye umri wa miaka 58 nchini Kenya katika shamba la Sifa Kitengela amekamatwa na polisi baada ya kuishi na mwili (maiti) ya mume wake ndani kwa muda mrafu mpaka mwili huo ukaharibika akiamini kuwa iko siku atafufuliwa.

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi nchini humo, mwanamke huyo amekamatwa baaada ya majirani zake kuripoti juu ya uwepo wa harufu mbaya ambayo si ya kawaida iliyokuwa ikitoka kwenye nyumba walioyokuwa wanaishi wanadoa hao.

Inaelezwa kuwa baada ya mwanamke huyo kuwazuia Polisi kuingia ndani, maofisa hao wa Polisi walilazimisha kuingia kwa nguvu kwenye nyumba hiyo na kukuta maiti ya mumewe ikiwa imelala karibu na kitanda chake sebuleni.

Mwanamke huyo anadaiwa kukaa kwenye milango muda mwingi, na kutokuwasiliana na jirani anatajwa kuwa ni miongoni mwa wafuasi wa madhehebu ya kidini ambayo yalizuia ulaji wa vyakula, isipokuwa ndizi na maji na pia imani yake haikumruhusu kupata watoto.

Kwa sasa mwanamke huyo amepelekwa katika hospitali ya Mathare kwa matibabu na kufanyiwa uchunguzi, huku mwili wa mumewe ukipelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha City akisubiri kuzikwa nyumbani kwake Nyeri.
 

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi