Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma
Wakili wa upande wa waleta maombi Nashon Nkungu, akizungumza nje ya mahakama amesema uamuzi huo wa Mahakama Kuu, unatoa nafasi kusikilizwa kwa kesi ya msingi ya waleta maombi kuitaka Mahakama Kuu kutoa tafsiri ya mkutano mkuu wa nusu muhula wa CWT kuwajadili waleta maombi wakati wakiwa na kesi mahakamani.