Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

LHRC walalamika kukamatwa waangalizi wao uchaguzi

Ijumaa , 30th Oct , 2015

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimelilalamikia jeshi la polisi kwa kuwakamata wafanyakazi wake zaidi ya 40 kwa sababu zisizofahamika na kulitaka jeshi polisi kutoa taarifa ya sababu za kukamatwa kwao.

Mwanasheria kutoka kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC ndugu HAROLD SUNGUSIA akizungumza na wanahabari

Akizungumza na waandishi mwanasheria wa kituo hicho Bw. Harlod Sungusia amesema jeshi la polisi lilivamia kituo chao cha kukusanya taarifa za uchaguzi ka kukusanya komputa na kisha kuondoka na wafanyakazi hao bila kupewa maeleoz yoyote.

Sungusia amesema kituo cha kina kibali kutoka tume ya taifa ya uchaguzi NEC inayowaruhusu kufuatilia mwenendo wa uchaguzi kwa kuchukua matoke ambayo ni rasmi kutoka tume hiyo na baadae kutoa taarifa juu ya mwenendo wa Uchaguzi ulivyokwenda.

Bw. Sungusia ambaye alikuwa akiongea wakati zoezi hilo la upekuzi likiendelea ameshangaa kwa hatua hiyo ya polisi kwani wao wana kibali kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa ajili ya kufanya shughuli za uangalizi na kuandika ripoti.

Sungusia amesema wamejipanga kwenda kudai haki yao kisheria ikiwa ni pamoja na kuwasimamia vijana hao ikiwa ni pamoja na kupata maelezo ya kutosha juu ya kukamatwa vijana hao ambao anadaia kuwa walikuwa wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita