Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kiwanda cha mataruma chashusha uzalishaji kwa 70%

Jumatatu , 16th Jan , 2017

Kiwanda pekee cha kutengeneza mataruma ya reli na uchimbaji wa kokoto Afrika Mashariki na Kati kilichopo eneo la Kongolo Kwale wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, kinakabiliwa na uchakavu wa mitambo hali ambayo imepunguza kiwango cha uzalishaji kwa 70%

Kiwanda cha mataruma cha Kongolo Mbeya

Kiwanda hicho ambacho ni mali ya TAZARA, kilianzishwa tangu  mwaka 1977, kwa ubia na nchi ya Uchina na tangu kipindi hicho mitambo yake haijabadilishwa wala kufanyiwa ukarabati, licha ya kuwa na umuhimu mkubwa.

Juma  Mizambwa ni Kaimu Meneja wa Kiwanda hicho anafafanua (Sikiliza sauti yake hapa chini)

Kamati ya Bunge inayoshughulikia miundombinu nchini ikiongozwa na Mwenyekiti wake Prof. Norman Sigalla, imetembelea kiwanda hicho,  na kutoa  mapendekezo yake  kukinusuru kiwanda hicho (Sikiliza sauti za wabunge hapo chini)

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na  Meneja Mkuu wa Tazara kwa  upande wa Tanzania, Fuad Abdallah imedai kuwa shilingi bilioni 3.5 zinahitajika kununulia mitambo mipya au bilioni 2.2 kufanya ukarabati. (Sikiliza sauti hapa chini)

Nao baadhi ya wadau waliotembelea kiwanda hicho ambao ni wabunge akiwemo Zubery Mchauka na Anna Lupembe wametoa maoni yao (Sikiliza sauti hapa chini)

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil