Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kisa cha binti anayedaiwa kubakwa mwaka mzima

Jumatano , 3rd Mar , 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga, ametoa ushuhuda wa binti aliyekuwa akibakwa na bosi wake kwa mwaka mzima kwa lengo la kulinda ajira yake lakini walipotaka kumsaidia alikimbia kwa kuhofia kupoteza kazi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Anna Henga

Kauli hiyo ameitoa hii leo Machi 3, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, wakati akizungumzia ukubwa wa tatizo la rushwa ya ngono makazini na hata mashuleni, na kusema kuwa tatizo la rushwa ya ngono lipo na mara nyingi wahanga wa tatizo hilo huwa hawatoi taarifa.

"Kuna msichana alikuwa anabakwa na bosi wake karibia mwaka mzima ili aweze kubaki kazini na wasichana wengi katika hiyo ofisi walikuwa wamefukuzwa kwa sababu wamemkataa bosi na yeye kwa vile alikuwa na shida akamvumilia na tulipotaka kumsaidia akakimbia kwa kuhofia kukosa kazi na hii rushwa ya ngono inawapata watu ambao hawana chaguo," amesema Anna Henga.

Aidha, Anna Henga, ameongeza kuwa, "Mwarobaini wa tatizo la rushwa ya ngono siyo mmoja inahitaji sekta mbalimbali kushirikiana ili kuliondoa maana ni mbaya sana na linadhalilisha utu".

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero