Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kipindupindu bado tishio la Maisha Tanzania-Azma

Alhamisi , 31st Dec , 2015

Serikali imesema kuwa Licha ya juhudi za wadau wa kimataifa na serikali, ugonjwa wa kipindupindu bado umeendelea kuuwa watu wengi nchini Tanzania huku changamoto kubwa ikibainishwa kuwa watu kutozingatia usafi wa mazingira na kanuni za Afya.

Mtaalamu wa afya ya jamii ya epodemiolojia Dk Azma Simba kutoka wizara ya afya (Mwenye t-shirt Nyeusi) akiwaeleza jambo wataalam wa Afya kutoka nje

Akizungumza kwa njia ya Simu na East Africa radio mtaalamu wa afya ya jamii ya epodemiolojia Dk Azma Simba kutoka wizara ya afya amesema kuwa licha ya kwamba kwa baadhi ya mikoa mlipuko wa kipindupindu unadhibitiwa lakini kwa ujumla ugonjwa unasambaa kwa kasi ambapo zaidi ya watu 12,000 wameripotiwa kuathirika na Ugonjwa huo.

Dkt. Simba amesema kuwa kile anachokiona kinakwamisha kutokomeza kwa kasi kipindipindu Tanzania ni kukosekana kwa ushirikiano toka kwa jamii katika kuitikia wimto wa utunzanji wa mazingira pamoja na kuzingatia kanuni za afya.

Takribani watu 200 wamefariki dunia kutokana na mlipuko wa kipindupindu nchini Tanzania ambao ulianza mnamo Agosti 15, 2015.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero