
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa
Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 27, 2021, Bungeni Dodoma wakati akijibu swali la mbunge wa Makete Festo Sanga, lililohoji ni nini kauli ya serikali kufuatia vitendo vya ujambazi vilivyochipukia siku za hivi karibuni katika mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya na Dodoma.
Tazama video hapa chini