
Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango (watatu kushoto) akiweka
jiwe la msingi Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini iliopo Manispaa ya Mikindani mkoani Mtwara, Julai 26,2021.

Kushoto ni mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima na kulia ni Mbunge wa Bumbuli January Makamba

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba

Rais wa Tunisia Kais Saied (Kushoto) na Kulia ni wananchi wakisherehekea mara baada ya maamuzi ya Rais kumfuta kazi Waziri Mkuu na Bunge kusitishwa nchini Tunisia.

Kulia ni Sholo Mwamba kushoto ni Muna Love

Picha ya Wasanii Nandy, Mobetto na Zuchu

Taddeo Lwanga Mfungaji wa bao pekee la Simba kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Yanga

Wachezaji na viongozi wa Simba SC wakishangilia ubingwa