Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jaji Warioba atoa neno kuhusu Panya Magawa

Alhamisi , 19th Nov , 2020

Mkuu wa chuo kikuu cha kilimo Sokoine (SUA), Jaji Mstaafu Joseph Warioba, ameipongeza taasisi ya SUA Apopo kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kufundisha Panya kutegua mabomu, hadi kupata medali ya dhahabu na kugundua magonjwa mbalimbali ya binadamu ikiwemo kifua kikuu.

Kushoto ni Panya Magawa na kulia ni Mkuu wa chuo kikuu cha kilimo Sokoine (SUA), Jaji Mstaafu Joseph Warioba.

Jaji Warioba ametoa pongezi hizo katika ziara yake aliyoifanya chuoni hapo, yenye lengo la kukagua miundombinu ya kufundishia na miradi mbalimbali ya kimaendeleo inayotekelezwa chuoni hapo na kusema kuwa medali aliyopata Panya Magawa, imeleta heshima kubwa kwa nchi na kuifanya dunia itambue mchango wa watafiti waliopo Tanzania.

"Mmeiweka Tanzania katika ramani ya dunia kwamba mmeweza kukifundisha kiumbe ambacho kinafanya kazi nzuri katika mambo ya amani, nadhani hata serikali ni lazima ione fahari kwamba chuo chake kimefanya kazi hii, mnastahiri pongezi", amesema Jaji Warioba.

Panya Magawa alipewa medali hiyo ya dhahabu mwishoni mwa mwezi Septemba mwaka huu na shirika la matibabu ya wanyama la Uingereza lisilokuwa la kiserikali (PDSA), baada ya kuweza kunusa mabomu 39 na silaha 28 ambazo hazikuweza kulipuka.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita