Charles Mkumbo - Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha

25 Jan . 2017

Mafundi a TANESCO wakiwa katika moja ya kazi zao za kila siku

25 Jan . 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipita kwenye mashine hizo mara baada ya uzinduzi wa Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam.

25 Jan . 2017

Makocha wa Yanga wakiwa katika mazoezi ya timu

25 Jan . 2017

AY (kushoto), Joh Makini (kulia)

25 Jan . 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia mara baada ya kuendesha gari la Mwendo Kasi katika kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo Haraka (BRT) mara baada ya kufungua rasmi Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam.

25 Jan . 2017