Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Haya ndiyo majina ya majambazi waliouawa Goba leo

Ijumaa , 24th Jun , 2022

Majambazi watatu wameuawa baada ya kupambana na Jeshi la Polisi wakiwa katika harakati za kutaka kupora katika duka, eneo la Goba Dar es Salaam, pambano ambalo lilipelekea askari mmoja kujeruhiwa.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amesema katika majambazi hao waliouawa wawili wametambuliwa kuwa ni Ridhiwani Sunna Mgeni, aliyewahi kushtakiwa kwa kesi ya mauaji PI 148/2006 na Rajabu Ramadhani aliyewahi kushtakiwa kwa mauaji PI 28/2014.

Taarifa imeeleza kuwa tukio hilo limetokea leo Juni 24, 2022, majira ya saa 6:45 mchana eneo la Goba Tegeta A, wilaya ya Ubungo kwenye duka la miamala ya kifedha lililofahamika kama Skymart Mini supermarket, kundi la majambazi wanne wakiwa na pikipiki aina ya TVS walifika eneo hilo kwa lengo la kuvamia na kupora fedha katika duka hilo.

Kamanda Mambosasa ameeleza kuwa majambazi nao walishambuliwa na kujeruhiwa vibaya, ambapo walipelekwa haraka hospitali lakini kwa bahati mbaya watatu wamepoteza maisha na mmoja alitoroka.

 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil