![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2025/02/11/miruuu.jpg?itok=0QktRiCG×tamp=1739297727)
Mirungi iliyokutwa ndani ya gari
Akizungumza jijini Dodoma, Kamanda wa Polisi wa mkoa huo SACP George Katabazi amesema gari namba za usajili T403 EFK aina ya Toyota Alphard liliacha njia na kupinduka likiwa mwendokasi.
"Akijua amebeba biashara haramu dereva aliendesha gari lake mwendokasi na kumshinda kisha kupata ajali na kujeruhi mmoja ambaye alipoteza maisha hospitalini, baada ya kukagua tulikuta viroba vya mirungi," amesema SACP Katabazi