Mke pamoja na Mdogo wa Professor Jay
Wakizungumza hii leo Juni 10, 2022, jijini Dar es Salaam, mke pamoja na mdogo wa Professor Jay, wamewashuru pia Watanzania kwa sala na michango yao ya hali na mali waliyokuwa wakiitoa kwa siku zote 127 alizokuwa akitibiwa Professor kwenye hospitali ya Taifa Muhimbi.
Tazama video hapa chini




