Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu matarajio ya wakenya kwa Rais Samia

Jumanne , 4th Mei , 2021

Wakili Msomi nchini Kenya, Prof. George Wajackoyah amesema kitendo cha mabunge mawili kuungana kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye anatarajia pia kuhutubia bunge nchini humo  ni heshima kubwa kwake kwani hutokea mara chache.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

Akizungumza kwenye mahojiano na Kipindi cha Supa Breakfast, cha East Africa Radio, Prof. Wajackoyah amesema miaka miwili iliyopita Waziri Mkuu wa Uingereza alikaribishwa nchini Kenya, lakini hakupata nafasi hiyo ya kuhutubia mabunge yote mawili nchini Kenya.

"Rais Samia atahutubia mabunge yote kwa pamoja hiyo ni heshima kubwa kwa Rais wa Tanzania, kwani hata miaka miwili iliyopita Waziri Mkuu wa Uingereza aliwahi kukaribishwa nchini Kenya, lakini hakuhutubia mabunge yote mawili" amesema Prof. Wajackoyah

Akielezea matamanio ya wananchi wa Kenya, Prof. Wajackoyah ameeleza kuwa wamefurahishwa na ujio huo huku wakimuomba Rais Samia kushirikiana na wapinzani wake katika siasa ili kukuza uchumi na amani ya nchi.

"Watu wamefurahi na wanauliza alisema ataweza kuleta uhusiano mwema kati ya nchi jirani, wamesema wangefurahi sana ikiwa mama Samia angeweza kuhusiana na wapinzani wake wa siasa ili waijenge Tanzania iwe nchi ya amani, Na kuna wale vibaraka hawataki mama aongee na majirani zao ingekuwa vizuri akaanza kujadiliana na wapinzani wa siasa kuleta uchumi, uhusiano mwema na ujirani mwema" amesema Prof. Wajackoyah

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita