Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dkt. Gwajima aweka mbinu za kukabiliana na ukatili

Ijumaa , 24th Jun , 2022

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Dkt Dorothy Gwajima, ameripoti kwa viongozi wa mtaa wake anaoishi wa Ilazo Mbuyuni kwa lengo la kukutana na kujadiliana na viongozi hao wa Mtaa wa Ilazo Mbuyuni, Kata ya Ipagala jijini Dodoma ili kuweka mbinu za kukabiliana na ukatili wa kijinsia kwenye jamii.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maaalum, Dkt Dorothy Gwajima

Akizungumza na uongozi wa Kata hiyo Dkt. Gwajima, amesema mbinu za kutokomeza ukatili lazima zitokane na wanajamii wenyewe kwa sababu wanaofanya ukatili wanatoka miongoni mwao.

"Sisi wanajamii ya Ipagala lazima tuungane na jamii ya Watanzania wote kuitikia wito wa serikali katika kupambana na ukatili na ikiwezekana tuwe wa kupigiwa mfano na jamii zingine," amesema  Dkt. Gwajima.

 Kuhusiana na takwimu za ukatili, Waziri Dkt Gwajima alisema, matukio yaliyoripotiwa kwa mwaka 2021 yalikuwa zaidi ya 11000 kwa watoto, huku matukio ya ubakaji yakiwa zaidi ya 5000.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtaa wa Ilazo Mbuyuni Lucas Mwasongwe, alimpongeza Waziri kwa kushuka na kujadili suala hilo katika ngazi ya chini na kuwaomba viongozi kuiga mfano huo.

"Mtoto akitoka shule kaa naye, mdadisi mfanye kuwa rafiki, kataeni vitendo vya ukatili vimekithiri kama alivyosema Mhe. Waziri" alisema Mwasongwe.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa