Shamba la chai
Bei ya kilo moja ya majani ya chai katika mnada huo imeuzwa kwa shilingi 229 za Kenya ikiwa ni ongezeko la asilimia 6, ikilinganishwa na shilingi 217 bei ya zamani.
Hata hivyo bei hiyo bado ni ya chini ikilinganishwa na mauzo ya bei ya chai katika kipindi kama hicho mwaka jana ambapo kilo moja ya majani ya chai iliuzwa kwa shilingi 298 za Kenya.





