Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Askari wanyamapori watakiwa kuwa waadilifu

Ijumaa , 24th Mar , 2023

Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjato Kasilda Mgeni ameagiza Askari wa Wanyama pori kuhamishia kituo cha kuzuia Wanyama kijiji cha Muhesa Kata ya Maore ili kurahisha kazi ya kudhibiti tembo ambao wanatoka katoka hifadhi ya Taifa Mkomazi na kuingia katika kijiji hicho 

Pia mkuu huyo wa Wilaya amewataka Askari kufanya kazi kwa uadilifu kuwa na ukaribu na viongozi wa Vijiji ambavyo vinazunguuka hifadhi hiyo Ili waweze kupata taarifa kwa urahisi, wakati mipango mingine ikiendelea ikiwemo kupata Vilipuzi kusaidia kuzuia Tembo wasiingie kwenye vijiji hivyo na kuharibu mazao ya wakulima.

Maagizo hayo yamekuja kufuatia malalamiko ya wakazi wa kijiji hicho, kudai Maisha yao yapo hatarini kitokana na kuwepo kwa makundi makubwa ya Tembo wanaoingia kwenye maeneo ambayo kunafanyika shughuli za kibinadamu IKIWEMO Kilimo, huku tembo hao wakiwajeruhi baadhi ya watu, Kuuawa na wengine kuharibiwa Mazao yao.

"Sisi sio wakutegemea vyakula vya msaada, Mhe.Mkuu wa Wilaya tunatambua umuhimu wa Wanyama na maeneo ya hifadhi lakini kinacho endelea sasa tunaomba Serikali ifanye kila kinacho wezekana mtusaidie Tembo wasituharibie Mazao yetu Hali ni mbaya na hatujui itakuaje kama Wanyama hawa hawatudhinitiwa". Alisema mmoja wakazi wa kijiji hicho.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe