
Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Lema ameandika ujumbe huo na kusema.
"Nimefurahi Rais Samia Suluhu Hassan, kukutana na Makamu Mwenyekiti wetu Tundu Lissu, kukutana kwao kunajenga matumaini katika siku za usoni, ninajua watakuwa wamejadili kwa kina hali ya nchi yetu na changamoto zake kwa sasa na njia nzuri ya kuzivuka," ameandika Lema.