Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akipambana na vijana wa Shule ya Sekondari Kijitonyama.

18 Oct . 2024

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

18 Oct . 2024

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mhandisi Hamad Masauni akisikiliza taarifa ya mradi

18 Oct . 2024

Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imemtangaza Ramadhani Kayoko kusimamia sheria kumi na saba kwenye mchezo wa Dabi ya Kariakoo mchezo unaozikutanisha timu za Simba SC dhidi ya Yanga SC katika uwanja wa Benjamini Mkapa. Mchezo huo mkubwa nchini Tanzania na Afrika ya Masharaiki utachezwa kesho Jumamosi saa 11:00 jioni. Watakaomsaidia Kayoko ni Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga huku Tatu Malogo atakuWa Muamuzi wa mezani.

18 Oct . 2024

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

17 Oct . 2024