Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wavuvi watatu wapotea Feri Dar es salaam

Ijumaa , 5th Aug , 2022

Ukosefu wa vifaa vya kisasa vya kuvulia samaki kwa wavuvi katika eneo la soko la samaki la Feri hasa katika kipindi hiki cha msimu wa baridi kumedaiwa kusababisha  wavuvi watatu kupotea baharini ndani ya kipindi cha mwezi wa  sita na mwanzoni mwa mwezi wa saba mwaka huu

Wakizungumza na EATV wavuvi hao wamesema kukosekana kwa vifaa vya uokoaii nako kumekuwa kukichangia wavuvi hao kuendelea kupotea baharini na kuziacha familia zao zikiteseka

Kwa upande wake mwenyekiti wa wavuvi katika soko la samaki Feri Ali Alawi amedai kwamba licha ya wavuvi hao kulipa fedha  nyingi za leseni ya uvuvi na kodi mbalinbali lakini wamekuwa hawathaminiwi wanapooatwa na matatizo baharini kutokana na kuendelea kutumia mitumbwi na ngarawa katika kuvua samaki baharini 

Akizungumza kwa njia ya simu kamanda wa kikosi Cha majini ACP Moshi Sokolo amesema kazi ya uokoaji baharini inaenda sambamba na kuwaokoa wavuvi pale taarifa inapowafikia mapema

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya