Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walalamika kukosa nafasi soko la Mwanga Kigoma

Jumanne , 12th Jul , 2022

Wanawake Wajasiriamali zaidi ya 100 waliokuwa wanafanya biashara ndogo ndogo za kuuza mboga mboga, matunda na Samaki katika soko la Mwanga Manispaa ya Kigoma Ujiji, wamelalamikia uongozi wa Manispaa hiyo kwa kukosa nafasi katika soko jipya

Wanawake Wajasiriamali zaidi ya 100 waliokuwa wanafanya biashara ndogo ndogo za kuuza mboga mboga, matunda na Samaki katika soko la Mwanga Manispaa ya Kigoma Ujiji, wamelalamikia uongozi wa Manispaa hiyo kwa kukosa nafasi katika soko jipya

Wamesema tangu wamesimama kufanya biashara baada ya soko la Mwanga kuvunjwa ili kupisha ujenzi wa soko la kisasa, bidhaa zao walizohifadhi nyumbani zimeharibika kwa kuoza kwa kukosa sehemu ya kuuzia.

Wameeleza kuwa kila siku wanashinda katika soko jipya lililoko eneo la Masanga Jirani na stendi kuu ya mabasi kusubiri viongozi wawagawie maeneo lakini wamekuwa wakiwakwepa.

Akizugumzia suala hilo Mwenyekiti wa Kamati ya Mipango Miji wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kitongoni Himid Omary, amesema malalamiko ya wanawake hao yatawasilishwa kwa timu iliyoundwa ya halmashauri kwa ajili ya kushughulikia ugawaji wa maeneo.

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa