Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakazi kata ya Kinzudi Ubungo walilia barabara.

Jumatano , 5th Apr , 2023

Wakazi wa kata ya kinzudi Manyema Manispaa ya Ubungo wamesema wanalazimika kulipa hadi shilingi elfu tatu kupanda boda na bajaji kwenda zilipo daladala kutokana na uharibufu wa miundo mbinu ya barabara uliopo wakibainisha kuwa hali inakuwa mbaya zaidi kipindi cha mvua kama hiki.

Kufuatia mwendelezo wa mvua zinazoendelea kunyesha EATV imefika katika kata hiyo ambayo ukitokea Africana hadi mwisho wa lami inapakanisha manispaa ya kinondoni na Ubungo,wakazi hao wameeleza namna ambavyo usafiri ni tatizo kubwa kwa wamama wajawazito na watoto ambao hawawezi kujipambania.

Uhalisia wa barabara ulivyo unawafanya baadhi ya wamiliki wa vyombo vya moto wameeleza namna ambavyo wengine hulazimika kuacha kutumia vyombo vyao kutokana na ubovu wa barabara.

Wakazi wa kinzudi wamelazimika kufikisha kilio chao cha ubovu wa barabara kwa serikali kutokana na madhila ya muda mrefu wanayopitia kwa vipindi vyote vya mwaka.

 

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi