Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara wa Tanzania kuwekeza Slovakia.

Jumapili , 26th Feb , 2023

Balozi wa Heshima wa Jamhuri ya Slovakia nchini Tanzania Mhe. Moustafa Khataw ametoa wito kwa wafanyabiashara wa Tanzania kuchangamkia fursa za kiuchumi kwa kushirikiana na wenzao wa nchi hiyo ambao wameonesha nia ya dhati ya kutaka kuwekeza Pamoja kufanya biashara na Tanzania.

Khataw ameyasema hayo katika wakati wa kongamano la uwekezaji na biashara la Umoja wa Nchi za Ulaya lililofanyika kwa siku mbili katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

Amesema Slovakia, iliyojipatia uhuru wake Januari 1, 1993 baada ya kuvunjika kwa amani umoja wake na Czechoslovakia, ni nchi iliyoendelea na yenye uchumi wa hali ya juu wa kipato, ikishika nafasi ya 45 katika Kielelezo cha Maendeleo ya Kibinadamu.

“Kuvurugika kwa uchumi katika maeneo yao kutokana na mgogoro wa Urusi na Ukraine wenzetu hawa wa Slovakia wameamua kugeukia Afrika kuendeleza shughuli zao za biashara na uzalishaji na wamevutiwa mno na Tanzania kwa kuwa nchi ya amani na vivutio vyema vya uwekezaji”, amesema Khataw.

Khatawa amesema jumla ya makampuni 18 toka Slovakia yamehudhuria kongamano hilo la biashara la EU lililofunguliwa siku ya Alhamisi na Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango na kufungwa siku ya Ijumaa na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi.

Pamoja na mambo mengine, amesema makampuni kadhaa yamedhamiria kuwekeza nchini Tanzania katika Nyanja mbalimbali, ikiwemo ujenzi wa nyumba bora za bei nafuu na uzalishaji wa mbolea halisi.

Amesema Slovakia pia ni wazalishaji wakuu wa magari kwa kila mtu duniani, ambapo ilitengeneza jumla ya magari milioni 1.1 mwaka wa 2019, ikiwa ni asilimia 43 ya jumla ya pato lake la kiviwanda.

 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita