Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara soko la Magomeni wapangwa upya

Alhamisi , 15th Sep , 2022

Baada ya wafanyabiashara katika Soko la Kimataifa la Magomeni kukimbia vizimba na maduka yaliyopo sehemu za juu na kwenda kufanyia biashara chini, sasa wamerejea katika maeneo yao ya ghorofani baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kuunda kamati ya kuwapanga upya.

Vizimba soko la Magomeni

Wafanyabiashara katika sehemu za juu za jengo la soko la Magomeni waliteremka chini na kufanya biashara huko kwa kile kilichodaiwa kuwa wateja hawafiki juu ghorofani. Badhi ya wafanyabiashara hao wamedai kuwa hata sasa bado hali sokoni hapo siyo nzuri kibiashara.

 Wenyeji katika soko hilo wanasema kulikuwa na tabia ya mazoea ambayo wafanyabiashara walijijengea kwamba hauwezi kupata wateja kama upo juu na kwamba ndiyo imekuwa ikiwasumbua wafanyabiashara sokoni hapo. Alex Kobela ni mfanyabiashara sokoni hapo ambaye EA radio imefanikiwa kuzungumza nae juu ya hali ya biashara sokoni hapo.

“Kulikuwa na tabia ya mazoea ambayo wafanyabiashara walijijengea kwamba hauwezi kupata wateja kama upo juu na hii ndiyo imekuwa ikiwasumbua wafanyabiashara hapa. Hili soko limejengwa kwa viwango vya kimataifa na wafanyabiashara lazima wake kwenye maeneo yaliyopangwa kutegemea na anachokiuza. Kwahiyo pale chini walikuwa wanavunja utaratibu, hata hivyo Tunashukuru sasa hivi tumefanikiwa kuwarejesha tena kwenye maeneo wanayostahili kulingana na anachokiuza ili soko liwe na mpangilio.”- Formela Kanyika, Mhasibu wa Manispaa ya Kinondoni.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke