
Mkurugenzi Tume ya Tehama Samson Mwela (aliyesimama) akitoa mafunzo maalum kwa watangazaji na waandishi kutoka kituo cha East Africa Television na East Africa Radio.
Mkurugenzi Tume ya Tehama Samson Mwela, ameeleza hilo wakati akitoa mafunzo maalum kwa watangazaji na waandishi kutoka kituo cha East Africa Television na East Africa Radio.
Aidha ameongeza kuwa kwa sasa bado takwimu zinaonyesha eneo hili la Tehama bado watu hawajalitumia ipasavyo licha ya kwamba kwa sasa dunia iko katika ulimwengu huo.
Namna ya kushiriki tuzo za Tehama (ICT Awards 2021) bonyeza hapa
Tazama video hacpo chini