Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vifungashio tatizo kwa wafanyabiashara

Ijumaa , 7th Aug , 2020

Licha ya Serikali kuwezesha mikopo ya yenye masharti nafuu kwa wanawake, vijana na watu walemavu kupitia Halmashauri mbalimbali nchini kuwasaidia vijana kufanya shughuli za ujasiriamali bado tatizo kubwa limetajwa kuwa ni vifungashio vyenye ubora.

Licha ya Serikali kuwezesha mikopo ya yenye masharti nafuu kwa wanawake, vijana na watu walemavu kupitia Halmashauri mbalimbali nchini kuwasaidia vijana kufanya shughuli za ujasiriamali bado tatizo kubwa limetajwa kuwa ni vifungashio vyenye ubora.

Mmoja ya kijana mjasiriamali anayejishughulisha na utengenezaji wa sabuni za mche pamoja na sabuni za maji dawa za kusafishia maliwatoni amesema wanapata wakati mgumu kusafirisha sabuni hizo umbali mrefu kutokana na vifungashio kuwa duni.

Hata hivyo amesisitiza ni vyema vijana wengi wakaacha kuilalamikia serikali na badala yake wajitokeze kujifunza mbinu ya kujisimamia wenyewe katika ujasiriamali ili kukuza vipato vyao.

Kuhusu Sera za Serikali katika biashara na viwanda amesema ni muhimu zikazingatia kuwakuza hasa wafanyabiashara wa ndani ili waweze kuwa na ushindani katika masoko makubwa na wafanyabiashara wanaotoka nje.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil