Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yatoa siku 14 kwa wawekezaji waliokwama

Jumatatu , 17th Mei , 2021

Serikali imetoa siku 14 kwa Kampuni zote ambazo zimesimama Uwekezaji ama zilikwazwa kwa namna yeyote ile kuandika barua barua Wizara ya Uwekezaji Ili kutanzua mikwamo hiyo.

Waziri wa Uwekezaji Geoffrey Mwambe.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Uwekezaji Geoffrey Mwambe wakati akizungumza na wanahabari pamoja na watumishi wa Kituo Cha Uwekezaji nchini Tanzania (TIC)

"Kuna tabia ambayo haziko sawa kwa wenzetu wa sekta binafsi udanganyifu ni mkubwa na kwa sasa hatuwezi kuona serikali ikipoteza kodi stahiki hivyo niwaombe tushirikiane kwa pamoja kuchagiza sekta hii kuzidi kukua"amesisiza Mwambe.

Sambamba na hilo pia ametoa onyo kwa wafanyabiashara na wawekezaji ambao ni wamekuwa wakifanya udanganyifu hasa katika malipo ya ongezeko la thamani (VAT) kubadili tabia kwa kuwa serikali haiko tayari kuona vitendo hivyo vikiendelea.

"Tunataka sasa Uwekezaji nchini ufanyike kupitia Kituo Cha Uwekezaji lakni pia Wizara ya Uwekezaji kwa ujumla hii itapunguza mlolongo" amesema Mwambe.

Katika hatua nyingine amesema kuwa kwa sasa wanashughulikia kubadilisha  madhaifu yalipo kwenye Sheria ya Uwekezaji ya sasa ili masuala yote ya kiuwekezaji yaweze kuratibiwa chini ya Wizara ya Uwekezaji na Taasisi zake Ili kuondoa urasimu.

Baadhi ya mambo ambayo yametajwa kuharibu Uwekezaji ni Vitendo vya Rushwa,udanganyifu kutoka kwa wawekezaji,pamoja na ukwepaji wa kodi sahihi za serikali.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa