Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yatakiwa kuangalia ufunguaji wa mipaka

Jumatano , 21st Sep , 2022

Wakulima na wadau wa Kilimo mkoani Morogoro wameiomba serikali kuangalia upya suala la kufungua mipaka ya nchi ambalo limepelekea wafanyabiashara kutoka nje ya nchi kuingia nchini na kununua mazao yakiwa mashambani na mashineni licha ya kuwepo na mavuno machache kwenye msimu uliyopita.

Mazao ya chakula na biashara

Hali hiyo imetajwa kusababisha kuwepo kwa mfumuko wa bei za mazao ya nafaka ikiwemo mahindi, mchele pamoja na mazao mengine  hapa nchini kutokana na kuwepo kwa upungufu wa mazao hayo.

Wakizungumzia hali hiyo mkoani humo  ambayo kwa sasa wanadai imepekea mazao ya chakula kupanda seikali ina kila sababu za kuingilia kati ili kunufaisha wafanyabiashara wa ndani.

Kwa upande wao baadhi ya wadau wa kilimo mkoani Morogoro, wameeleza athari za kupanda kwa bei za mazao na kuishauri serikali kuhusu kufunguliwa kwa mipaka ambayo imepelekea wafanyabiashara kutoka nje ya nchi kuja Tanzania kuchukua mazao ya chakula.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe