Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kutoa suluhu juu ya bei ya mafuta

Ijumaa , 7th Mei , 2021

Waziri wa Viwanda na Biashara, Profesa Kitila Mkumbo, amesema kuwa kesho atakutana na waagizaji wote wakubwa wa mafuta ndani ya mkoa wa Dar es Salaam ili kujua ni nini kinachopelekea mafuta ya kula kupanda bei.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Profesa Kitila Mkumbo

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 7, 2021, kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, ambapo ameongeza kuwa serikali inao mpango wa kuhakikisha kuwa bidhaa ya mafuta inazalishwa kwa wingi hapa nchini kwa kuhakikisha inanunua mbegu mpya na zenye ubora wa kuzalisha mafuta mengi.

"Msisitizo wetu ni kwamba wafanyabiashara hasa hizi siku za mwisho za mfungo wa Ramadhan wasipandishe bei za mafuta, kesho ninakutana na waagizaji wote wakubwa wa mafuta Dar es Salaam ili tuzungumze kwanini mafuta yamepanda", amesema Profesa Kitila.

Aidha Profesa Kitila amongeza kuwa, "Serikali inatengeneza mazingira ili tupate mbegu mpya ambayo itakidhi mahitaji ya sasa kwa sababu kwa sasa mbegu tuliyonayo uzalishaji wake ni mdogo".

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil